Friday, September 8, 2017

TUITION YA WATOTO , BURE KILA JUMAMOSI



Wazazi na walezi, Tunapenda kuwakaribisha kuwaleta watoto katika Tuition inayofanyika kila siku za Jumamosi kuanzia saa tatu kamili asubui.
.
Masomo ya Tuition yanatolewa Bure, pia, Vyakula na Vinywaji vinagawiwa BURE kwa kila mwanafunzi.
.
Walengwa ni Wanafunzi wote wa chekechea na shule za msingi waliopo Dar Es Salaam.
.
Waalimu mahili kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam Pamoja na shule mbali mbali za msingi, wapo kuhakikisha mtoto wako anapiga hatua
.
Lengo la Tuition hizi, ni kuongeza viwango vya ufaulu mashuleni.
.
Ili kufika, panda magari ya kimara shuka kitu kituo kinachoitwa Rombo, kishaulizia, makanisa mawili, au Kanisa la TAG MSEWE
.
kwa Mawasiliano zaidi tuwasiliane 0752 636641
.
Watoto Wote Mnakaribishwa sana.