Monday, May 11, 2015

TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU

TUNAMSHUKURU MUNGU TULIKUWA NA TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU SIKU YA JUMAPILI. TAMASHA HILI  LILIANDALIWA NA KIKUNDI CHA "THE POWERFUL PRAISE", WATU WENGI WALIJUMUIKA PAMOJA NASI KATIKA SIFA NA KUABUDU, HAKIKA MUNGU ALIONEKANA.

Yohana 4:23Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.












No comments:

Post a Comment