Sunday, October 8, 2017

MATUKIO YA TAMASHA KUBWA LA KUSIFU NA KUABUDU , "SHANGWE NA ZISIKIKE"

Tunamshukuru Mungu, siku ya leo tumekuwa na Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu , lililobeba jina la "SHANGWE NA ZISIKIKE"


Timu ya waimbaji , ijulikanalo kama "WALAWI". Wakielekea madhabahuni.




Timu ya WALAWI, ikihudumu madhabahuni katika tamasha kubwa la kusifu na kuabudu


Pichani, ni Kwaya ya Vijana, ijulikanayo kama "GOOD NEWS BRINGERS", ikihudumu katika Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu.


PICHANI: ni Mchungaji kiongozi wa kwaya ya WALAWI, akiwapongeza watu kwa kuhudhuria kwa wingi.



Pichani: Mchungaji kiongozi wa kanisa la Msewe Christian Revival Centre, Mchungaji Godwin Mujaki. akimuabudu Mungu katika Tamasha kubwa la Kusifu na Kuabudu.


Pichani: Mama mchungaji wa kanisa la Msewe Christian Revival Centre, Mama Mchungaji Scolla Mujaki. akimuabudu Mungu katika Tamasha kubwa la Kusifu na Kuabudu.


Pichani ni baadhi ya watumishi wa Mungu wakikemea pepo, katika Tamasha kubwa la Kusifu na kuabudu.




Hakika tulimuona Mungu katika tamasha hili, usikose kila jumapili kufika kanisani Msewe Christian Revival Centre. 

WATU WOTE MNAKARIBISHWA.

No comments:

Post a Comment