Tuesday, October 17, 2017

BWANA NIFANYE KUWA LANGO LA KUPITISHIA BARAKA ZAKO

Hivi ndivyo tulivyo hitimisha Jumapili yetu kwa somo zuri ambalo Mungu alimtumia mtumishi wake, askofu Chrisantu Siame, alivyo kuja kuhubiri katika kanisa la Msewe Christian Revival Centre.


Pichani ni Mchungaji kiongozi kwa kanisa la MSEWE CHIRSTIAN REVIVAL CENTRE, Mchungaji GODWIN MUJAKI, akimkaribisha Askofu CHRISANTU SIAME.



Pichani, ni Mchungaji Godwin Mujaki na Mke wake Scola Mujaki, pamoja na Mchungaji Chrisantu Siame, na mke wake, nyuma, ni baadhi ya Wachungaji wasaidizi, na wazee wa kanisa. Pamoja wakimtukuza Mungu.



Pichani, ni Askofu Chrisantu Siame, akifundisha somo kwa mifano. mbali mbali

Pichani, ni Askofu Chrisantu Siame, akimshukuru Mungu kwa watu walivyojitoa katika ibada ya leo. na kuwaombea Mungu aende kukutana na haja za mioyo yao.


HAKIKA TULIBARIKISWA SANA. 
USIKOSE JUMAPILI IJAYO KANISANI 
MSEWE CHRISTIAN REVIVAL CENTRE.


No comments:

Post a Comment