Sunday, January 14, 2018

USILIE MWANGALIE YESU - MCHUNGAJI DAVID MWAKAJINGA

Leo tumekuwa na ibada ya kipekee, ni baada ya kutembelewa na ugeni mkubwa kutoka kanisa la TAG Buguruni.

(Pichani ni Mchungaji David Mwakajinga akihubiri)

Watu wengi walibarikiwa kwa somo zuri la USILIE MWANGALIE YESU. 

 (Pichani ni Mchungaji David Mwakajinga akiwaombea waumini)

(Pichani ni Mchungaji Godwin Mujaki akiwaombea washirika)

 Kwaya ya Eden B  kutoka TAG BUGURUNI IKIHUDUMU

                 Washirikika wakisikiliza neno la Mungu
  Timu ya kusifu na kuabudu ya walawi ikihudumu

  Washirikika wakisikiliza neno la Mungu

                  Timu ya kusifu na kuabudu ya walawi ikihudumu

Mchungaji David Mwakajinga na mke wake, pamoja na Mchungaji Godwin Mujaki wakimtukuza Mungu kwa pamoja


Watumishi wa Mungu wakitoa pepa

            Baadhi ya watu waliokoka katika ibada ya leo