Sunday, November 12, 2017

IBADA KUBWA YA SHUKRANI KWA AJILI YA VYOMBO VYA KIMATAIFA.

Tunamshukuru Mungu tumekuwa na ibada kubwa ya shukrani kwa ajili ya vyombo vikubwa sana vya injili.

Pichani ni mchungaji Godwin Mujaki akiwa anahubiri katika ibada kubwa ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya vyombo vipya vya kisasa vya injili.

Pichani ni mama mchungaji Scolla Mujaki akiwa amefurahia uwepo wa Bwana katika ibada kubwa ya leo.


Mchungaji Godwin Mujaki (kushoto), akimtambulisha Mmishenari Macha mbele ya hadhara ya waliohudhuria tukio kubwa la leo


Mafundi mitambo wakielekezana baadhi ya vitu katika tukio kubwa la leo.


Muimbaji wa kitaifa , Mhe, Ambwene Mwasongwe, akimtukuza Mungu katika tukio kubwa la leo.


Tukio la leo liliambatana na kuwapokea wanafunzi wa mwaka wa kwanza waliojiunga vyuo mbali mblai jijini Dar es Salaam , kila mwanafunzi alipewa zawadi ya biblia kubwa , ambayo itamsaidia awapo masomoni.


Pichani ni Professor Mato kutoka chuo kikuu cha Ardhi, akikaribishwa kuzungumza na wanafunzi wa mwaka wa kwanza waliokuja Dar kuanza masomo yao.


Wageni kutoka korea, wakiimba wimbo.


Askofu kutoka Korea, akihubiri kwa kutumia mifano mbali mbali.


Wachungaji kutoka Msewe pamoja na Baraza la wazee wakipiga picha ya pamoja na wageni kutoka Korea.



Waimbaji kutoka nchi mbali mbali, (Argentina, Mexico, Korea, Thailand , Malawi, Kenya)
 wakijumuika kwapamoja na washirika wa msewe, katika kumsifu Mungu kwa ajili ya Vyombo vipya vya injili.


HAKIKA TULIBARIKIWA SANA. KARIBUNI SANA MSEWE CHRISTIAN REVIVAL CENTRE.




No comments:

Post a Comment