Sunday, October 8, 2017

MATUKIO YA TAMASHA KUBWA LA KUSIFU NA KUABUDU , "SHANGWE NA ZISIKIKE"

Tunamshukuru Mungu, siku ya leo tumekuwa na Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu , lililobeba jina la "SHANGWE NA ZISIKIKE"


Timu ya waimbaji , ijulikanalo kama "WALAWI". Wakielekea madhabahuni.




Timu ya WALAWI, ikihudumu madhabahuni katika tamasha kubwa la kusifu na kuabudu


Pichani, ni Kwaya ya Vijana, ijulikanayo kama "GOOD NEWS BRINGERS", ikihudumu katika Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu.


PICHANI: ni Mchungaji kiongozi wa kwaya ya WALAWI, akiwapongeza watu kwa kuhudhuria kwa wingi.



Pichani: Mchungaji kiongozi wa kanisa la Msewe Christian Revival Centre, Mchungaji Godwin Mujaki. akimuabudu Mungu katika Tamasha kubwa la Kusifu na Kuabudu.


Pichani: Mama mchungaji wa kanisa la Msewe Christian Revival Centre, Mama Mchungaji Scolla Mujaki. akimuabudu Mungu katika Tamasha kubwa la Kusifu na Kuabudu.


Pichani ni baadhi ya watumishi wa Mungu wakikemea pepo, katika Tamasha kubwa la Kusifu na kuabudu.




Hakika tulimuona Mungu katika tamasha hili, usikose kila jumapili kufika kanisani Msewe Christian Revival Centre. 

WATU WOTE MNAKARIBISHWA.

Friday, September 8, 2017

TUITION YA WATOTO , BURE KILA JUMAMOSI



Wazazi na walezi, Tunapenda kuwakaribisha kuwaleta watoto katika Tuition inayofanyika kila siku za Jumamosi kuanzia saa tatu kamili asubui.
.
Masomo ya Tuition yanatolewa Bure, pia, Vyakula na Vinywaji vinagawiwa BURE kwa kila mwanafunzi.
.
Walengwa ni Wanafunzi wote wa chekechea na shule za msingi waliopo Dar Es Salaam.
.
Waalimu mahili kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam Pamoja na shule mbali mbali za msingi, wapo kuhakikisha mtoto wako anapiga hatua
.
Lengo la Tuition hizi, ni kuongeza viwango vya ufaulu mashuleni.
.
Ili kufika, panda magari ya kimara shuka kitu kituo kinachoitwa Rombo, kishaulizia, makanisa mawili, au Kanisa la TAG MSEWE
.
kwa Mawasiliano zaidi tuwasiliane 0752 636641
.
Watoto Wote Mnakaribishwa sana.

Monday, May 11, 2015

TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU

TUNAMSHUKURU MUNGU TULIKUWA NA TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU SIKU YA JUMAPILI. TAMASHA HILI  LILIANDALIWA NA KIKUNDI CHA "THE POWERFUL PRAISE", WATU WENGI WALIJUMUIKA PAMOJA NASI KATIKA SIFA NA KUABUDU, HAKIKA MUNGU ALIONEKANA.

Yohana 4:23Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.












GET READY

WE THANKS GOD FOR THIS WONDERFUL DAY , TODAY WAS CMF(MEN'S) DAY NATIONAL WIDE IN ALL TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD CHURCHES.
HERE AT MCRC WE HAD A GREAT SERVICE WHICH WAS HELD BY A MAN OF GOD MR. MWANZALIMA. THE TITLE OF THE MESSAGE WAS Get ready.


WE AS CHRISTIANS WHO ARE WAITING FOR JESUS TO ARRIVE, WE MUST BE READY SO AS WHEN HE COMES HE FIND US WE ARE READY TO GO WITH HIM.

 
SOME THINGS TO CONSIDER

1.There must be a power that will enable you to wait for the Lord
2.The salvation is free, but the life of salvation requires to give your time to Christ
3. In order to get ready , carry your oil(Holy Spirit) MATTHEW 25:1-13
4. Dont ask for simple things, ask for the power to confront hard things









THE POWER OF THE PROMISE

WE THANKS GOD FOR THIS WONDERFUL DAY GOD HAS GRANTED US TO SEE, TODAY WE HAD A GREAT SERVICES WHICH WAS MINISTERED BY PASTOR GODWIN MUJAKI AT MCRC. HE TAUGH ABOUT 



THE POWER OF THE PROMISE

1.Promises in the history
Exodus 34:22
2.God implanted the church for the harvest of the world

GOD PROMISES AS THE PROMISE OF THE HOLY SPIRIT THAT HE WILL COME TO US AFTER JESUS IS GONE, THIS WAS THE PROMISE WHICH JESUS WENT BACK TO HEAVEN , AND THE FOLLOWING ARE THE RESULTS OF BEING FILLED WITH THE HOLY SPIRIT


The results of being filled with the holy spirit

1. A person is impower to testisfy the good news of jesus

2. The gifts of the profets start

3. The falling of the holy spirit 

4. Holyness obdience and rigousness is born

5. The level of revelence to God is born6. The level of diversion to God is born

7. The deciples where speaking in toungue








Sunday, May 10, 2015

UMUHIMU WA UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU

Tunamshukuru Mungu tulikuwa na ibada ya baraka sana iliongozwa na mtumishi wa Mungu mama mchungaji Scolla Mujaki. alihubiri ujumbe mzuri sana juu ya 


SABABU TANO ZA KUAMINI KUWA UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU NI MUHIMU KWA KANISA LA SASA.Sababu hizo ni kama ifuatavyo

1.Ulikuwa ni ujumbe wa kwanza kwa Mtume Paulo kwa wale wanafunzi kumi na mbili kwa Effeso
MATENDO YA MITUME 19:1-7

2.Ulikuwa ni ujumbe wa mwisho wa Yesu katika kanisa
MATENDO YA MITUME 1:8

3.Hata Maria mama yake Yesu alihitaji nguvu za Roho Mtakatifu
MATENDO YA MITUME 1:13-14

4.Ndio ilikuwa ahadi pekee katika biblia inayopewa umuhimu
MATENDO YA MITUME1:4

5.Yesu mwenyewe aliamua kufanya huduma kwa nguvu na upako katika roho mtakatifu
Luka 3:21