Tuesday, October 17, 2017

BWANA NIFANYE KUWA LANGO LA KUPITISHIA BARAKA ZAKO

Hivi ndivyo tulivyo hitimisha Jumapili yetu kwa somo zuri ambalo Mungu alimtumia mtumishi wake, askofu Chrisantu Siame, alivyo kuja kuhubiri katika kanisa la Msewe Christian Revival Centre.


Pichani ni Mchungaji kiongozi kwa kanisa la MSEWE CHIRSTIAN REVIVAL CENTRE, Mchungaji GODWIN MUJAKI, akimkaribisha Askofu CHRISANTU SIAME.



Pichani, ni Mchungaji Godwin Mujaki na Mke wake Scola Mujaki, pamoja na Mchungaji Chrisantu Siame, na mke wake, nyuma, ni baadhi ya Wachungaji wasaidizi, na wazee wa kanisa. Pamoja wakimtukuza Mungu.



Pichani, ni Askofu Chrisantu Siame, akifundisha somo kwa mifano. mbali mbali

Pichani, ni Askofu Chrisantu Siame, akimshukuru Mungu kwa watu walivyojitoa katika ibada ya leo. na kuwaombea Mungu aende kukutana na haja za mioyo yao.


HAKIKA TULIBARIKISWA SANA. 
USIKOSE JUMAPILI IJAYO KANISANI 
MSEWE CHRISTIAN REVIVAL CENTRE.


Sunday, October 8, 2017

MATUKIO YA TAMASHA KUBWA LA KUSIFU NA KUABUDU , "SHANGWE NA ZISIKIKE"

Tunamshukuru Mungu, siku ya leo tumekuwa na Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu , lililobeba jina la "SHANGWE NA ZISIKIKE"


Timu ya waimbaji , ijulikanalo kama "WALAWI". Wakielekea madhabahuni.




Timu ya WALAWI, ikihudumu madhabahuni katika tamasha kubwa la kusifu na kuabudu


Pichani, ni Kwaya ya Vijana, ijulikanayo kama "GOOD NEWS BRINGERS", ikihudumu katika Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu.


PICHANI: ni Mchungaji kiongozi wa kwaya ya WALAWI, akiwapongeza watu kwa kuhudhuria kwa wingi.



Pichani: Mchungaji kiongozi wa kanisa la Msewe Christian Revival Centre, Mchungaji Godwin Mujaki. akimuabudu Mungu katika Tamasha kubwa la Kusifu na Kuabudu.


Pichani: Mama mchungaji wa kanisa la Msewe Christian Revival Centre, Mama Mchungaji Scolla Mujaki. akimuabudu Mungu katika Tamasha kubwa la Kusifu na Kuabudu.


Pichani ni baadhi ya watumishi wa Mungu wakikemea pepo, katika Tamasha kubwa la Kusifu na kuabudu.




Hakika tulimuona Mungu katika tamasha hili, usikose kila jumapili kufika kanisani Msewe Christian Revival Centre. 

WATU WOTE MNAKARIBISHWA.

Friday, September 8, 2017

TUITION YA WATOTO , BURE KILA JUMAMOSI



Wazazi na walezi, Tunapenda kuwakaribisha kuwaleta watoto katika Tuition inayofanyika kila siku za Jumamosi kuanzia saa tatu kamili asubui.
.
Masomo ya Tuition yanatolewa Bure, pia, Vyakula na Vinywaji vinagawiwa BURE kwa kila mwanafunzi.
.
Walengwa ni Wanafunzi wote wa chekechea na shule za msingi waliopo Dar Es Salaam.
.
Waalimu mahili kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam Pamoja na shule mbali mbali za msingi, wapo kuhakikisha mtoto wako anapiga hatua
.
Lengo la Tuition hizi, ni kuongeza viwango vya ufaulu mashuleni.
.
Ili kufika, panda magari ya kimara shuka kitu kituo kinachoitwa Rombo, kishaulizia, makanisa mawili, au Kanisa la TAG MSEWE
.
kwa Mawasiliano zaidi tuwasiliane 0752 636641
.
Watoto Wote Mnakaribishwa sana.

Monday, May 11, 2015

TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU

TUNAMSHUKURU MUNGU TULIKUWA NA TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU SIKU YA JUMAPILI. TAMASHA HILI  LILIANDALIWA NA KIKUNDI CHA "THE POWERFUL PRAISE", WATU WENGI WALIJUMUIKA PAMOJA NASI KATIKA SIFA NA KUABUDU, HAKIKA MUNGU ALIONEKANA.

Yohana 4:23Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.












GET READY

WE THANKS GOD FOR THIS WONDERFUL DAY , TODAY WAS CMF(MEN'S) DAY NATIONAL WIDE IN ALL TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD CHURCHES.
HERE AT MCRC WE HAD A GREAT SERVICE WHICH WAS HELD BY A MAN OF GOD MR. MWANZALIMA. THE TITLE OF THE MESSAGE WAS Get ready.


WE AS CHRISTIANS WHO ARE WAITING FOR JESUS TO ARRIVE, WE MUST BE READY SO AS WHEN HE COMES HE FIND US WE ARE READY TO GO WITH HIM.

 
SOME THINGS TO CONSIDER

1.There must be a power that will enable you to wait for the Lord
2.The salvation is free, but the life of salvation requires to give your time to Christ
3. In order to get ready , carry your oil(Holy Spirit) MATTHEW 25:1-13
4. Dont ask for simple things, ask for the power to confront hard things









THE POWER OF THE PROMISE

WE THANKS GOD FOR THIS WONDERFUL DAY GOD HAS GRANTED US TO SEE, TODAY WE HAD A GREAT SERVICES WHICH WAS MINISTERED BY PASTOR GODWIN MUJAKI AT MCRC. HE TAUGH ABOUT 



THE POWER OF THE PROMISE

1.Promises in the history
Exodus 34:22
2.God implanted the church for the harvest of the world

GOD PROMISES AS THE PROMISE OF THE HOLY SPIRIT THAT HE WILL COME TO US AFTER JESUS IS GONE, THIS WAS THE PROMISE WHICH JESUS WENT BACK TO HEAVEN , AND THE FOLLOWING ARE THE RESULTS OF BEING FILLED WITH THE HOLY SPIRIT


The results of being filled with the holy spirit

1. A person is impower to testisfy the good news of jesus

2. The gifts of the profets start

3. The falling of the holy spirit 

4. Holyness obdience and rigousness is born

5. The level of revelence to God is born6. The level of diversion to God is born

7. The deciples where speaking in toungue