Friday, March 2, 2018
Tuesday, February 20, 2018
Sunday, January 28, 2018
Tuesday, January 16, 2018
Sunday, January 14, 2018
USILIE MWANGALIE YESU - MCHUNGAJI DAVID MWAKAJINGA
Leo tumekuwa na ibada ya kipekee, ni baada ya kutembelewa na ugeni mkubwa kutoka kanisa la TAG Buguruni.
(Pichani ni Mchungaji David Mwakajinga akihubiri)
Watu wengi walibarikiwa kwa somo zuri la USILIE MWANGALIE YESU.
(Pichani ni Mchungaji David Mwakajinga akiwaombea waumini)
(Pichani ni Mchungaji Godwin Mujaki akiwaombea washirika)
Kwaya ya Eden B kutoka TAG BUGURUNI IKIHUDUMU
Washirikika wakisikiliza neno la Mungu
Timu ya kusifu na kuabudu ya walawi ikihudumu
Washirikika wakisikiliza neno la Mungu
Timu ya kusifu na kuabudu ya walawi ikihudumu
Mchungaji David Mwakajinga na mke wake, pamoja na Mchungaji Godwin Mujaki wakimtukuza Mungu kwa pamoja
Watumishi wa Mungu wakitoa pepa
Baadhi ya watu waliokoka katika ibada ya leo
Saturday, December 16, 2017
MKESHA WA VIPAJI - JIGUNDUE KIPAJI CHAKO
Tunamshukuru Mungu, tumekuwa na mkesha mkubwa, uliowakutanisha wanavyuo wote waliopo Dar Es Salaam kwa pamoja katika tukio kubwa la Kugundua vipaji walivyonavyo.
1. Ukosefu wa Utii kwa kitu Mungu alichoweka ndani yako.
2. Hofu ya kushindwa kufanikiwa
3. Kukata tamaa (Kila kitu kizuri kinahitaji uvumilivu)
4. Mtazamo"Hakuna mtu anaweza akakuhukumu katika jambo zaidi ya wewe mwenyewe na neno la Mungu"
5. Mtazamo cha hasi (Kuhairisha mambo unayotaka kuyafanya kutokana na mtazamo hasi)
6. Kushindwa mara kwa mara
7. Mtazamo(Mrejesho) wa watu wengine juu ya maisha yako.
8. Kupoteza Muelekeo wa jambo ulilokusudia kulifanya
(1kor 6:12)
9. Kuridhika na mafanikio madogo madogo
(uwezo ni wewe ulivyotakiwa kuwa, ila bado haujafikia ulivyotakiwa kuwa)
10.Kuwa katika mazingira yasiyofaa
11. Kujilinganisha na watu wengine
12. Dhambi
(Pichani ni wanafunzi wa vyuo mbali mbali Dar Es Salaam, wakimsifu Mungu)
Pia, katika tukio hili la usiku wa kujigundua, (Talent ovenight Exhibition,), tulikuwa na somo zuri kutoka kwa mchungaji Michael marabeja,
Pichani ni mchungaji Michael Malabeja Akihubiri
Mchungaji Michael alihubiri somo lililobeba kichwa cha "Vitu ambavyo vinaweza kuchangia usifikie kiwango ambacho Mungu amekuwekea ndani yako".
aliorodhesha baadhi ya vitu hivyo kama
2. Hofu ya kushindwa kufanikiwa
3. Kukata tamaa (Kila kitu kizuri kinahitaji uvumilivu)
(Wanafunzi wa vyuo wakimsikiliz mchungaji Michael akiwa anahubiri)
5. Mtazamo cha hasi (Kuhairisha mambo unayotaka kuyafanya kutokana na mtazamo hasi)
6. Kushindwa mara kwa mara
7. Mtazamo(Mrejesho) wa watu wengine juu ya maisha yako.
8. Kupoteza Muelekeo wa jambo ulilokusudia kulifanya
(1kor 6:12)
9. Kuridhika na mafanikio madogo madogo
(uwezo ni wewe ulivyotakiwa kuwa, ila bado haujafikia ulivyotakiwa kuwa)
10.Kuwa katika mazingira yasiyofaa
11. Kujilinganisha na watu wengine
12. Dhambi
Mchungaji Michael Malabeja, akiwaombea wanafunzi walioamua kuokoka
Katika mkesha huu, kulikuwa na waimbaji mbali mbali waliojumuika pamoja nasi katika usiku wa kujigundua.
Mwimbaji Bale John akimtukuza Mungu katika mkesha wa kujigundua
Mwimbaji Sarah Ndosi akimtukuza Mungu katika mkesha wa kujigundua
Subscribe to:
Posts (Atom)